
ETHIOPIA,
Wenyeji wa michuano ya Cecafa maarufu kama chalenji Ethiopia wamejikuta wakilazimishwa sare mbele ya Timu ya Tanzania bara 'Kilimanjaro stars' ambayo haijapoteza mchezo hata mmoja tangu kuanza kwa michuano hiyo, mchuano mkali ulianza kwa Tanzania kujipatia goli wa kwanza kabisa dakika ya 53 kupitia kwa Simon Msuva. Baadaye kabisa dakika ya 90 Ethiopia walifanikiwa kusawazisha goli hilo kupitia kujifunga kwa mchezaji wa Tanzania mnamo dakika ya 90
Nao Uganda leo wameibuka kidedea kwa kuifunga Burundi goli 1 kwa sifuri, Uganda ilijipatia goli hilo kupitia kwa Frank kalanda mnamo dakika ya 70 ya mchezo huo
0 Comment to "KOMBE LA CHALLEGE"
Post a Comment